.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Mei 2016

MTU ALIYELISHAMBULIA BASI LA MANCHESTER UNITED AKAMATWA

Mwanaume mmoja amekamatwa kwa kuhusika na kushambulia basi la timu ya Manchester United nje ya uwanja wa timu ya West Ham.

Mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 28, amejisalimisha mwenywe katika kituo cha polisi cha masharikimwa London siku ya jana.

Mtu huyo anahisiwa kuwa na matatuzo ya kupenda ghasia, na alipatiwa dhamana hadi kati kati ya mwezi Agosti.
Basi la wachezaji wa Manchester United likishambuliwa na mashabiki wa West Ham
Kioo cha tinted cha basi la Manchester United kikiwa kimevunjika kutokana na shambulio la mtu aliyejisalimisha jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni