Mtoto wa kike wa Kim Kardashian na
Kanye West, aitwae North anaonekana ameanza kujijenga kuwa miongoni
mwa wanamitindo wachanga.
North mwenye miaka miwili alionekana
mwenye kuvutia kwa gauni lake akiwa mitaani nchini Cuba pamoja na
wazazi wake hao maarufu.
Mtoto huyo wa kwanza wa nyota hao
alionekana mwenye furaha akicheza mitaani na wazazi wake Kim na West
Jijini Havana.
North akicheza huku akimkimbilia mama yake Kim
Kanye West akicheza na mtoto wake North Jijini Havana
Kanye West, mkewe Kim na mtoto wao North
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni