.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 1 Mei 2016

WAHUDUMU WAKIKE WAIVURUGA NDOA YA RYAN GIGGS NA STACEY

Mchezaji nyota wa zamani wa Manchester United, Ryan Giggs ametengana na mkewe Stacey, na kunamadai kuwa wanatarajia kuivunja rasmi ndoa yao.

Wawili hao walionekana kwenye sherehe pamoja miezi mitatu iliyopita na kwa sasa bado Giggs na Stacey wanaishi kwenye nyumba moja.

Winga huyo wa zamani wa Manchester united, anatuhumiwa kuwa na mahusiano na wahudumu wakike wa hoteli yake anayoimiliki, Jijini Manchester.

Hii si mara ya kwanza kwa Giggs kuchepuka kwani aliwahi kuchepuka na mke wa mdogo wake wa kiume Rhodri aitwae Natasha Lever kwa miaka nane, pia na mwanamitindo Imogen Thomas.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni