Mwanamke mmoja alifariki dunia papo
hapo huku mwanaume mmoja akifariki dunia wakati akipelekwa hospitali
ya Kisii kwa matibabu.
Watu wawili hao waliokufa ni waumini
wa Kanisa la Wasabato (SDA), waliokuwa wametoka katika makambi huko
Ndhiwa, Kaunti ya Homa Bay.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni