.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 15 Juni 2016

MWANARIADHA OSCAR PISTORIUS ATEMBEA BILA MIGUU BANDIA MAHAKAMANI

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius ametembea kwa taabu Mahakamani akitumia sehemu ya miguu yake iliyobakia katika kujaribu kumshawishi Jaji kuwa yeye ni dhaifu mno kuweza kumuua kwa makusudi mpenzi wake Reeva Steenkamp.

Mwanariadha huyo anayetumia miguu maalum ya kukimbilia, alitakiwa kuvua miguu yake bandia, na kubakia na miguu yake iliyobakia wakati wa kesi yake iliyokuwa ikirushwa moja kwa moja kwenye runinga.
          Oscar Pistorius akisimama kwa kutumia sehemu za miguu yake iliyobakia 
                            Oscar akijikaza na kutembea kwenye chumba cha mahakama 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni