.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 15 Juni 2016

TWD YAKUTANA KUTENGENEZA KATIBA YAO

Umoja wa madjs wa zamani waliosumbua katika muziki wa Disco enzi zao ulikutana tena siku ya Jumanne June 14, 2016 Escape one Mikocheni katika kikao chao cha kamati iliyoteuliwa kuunda katiba ya umoja huo uliobeba jina la Tanzania Worldwide Djs ukiwa unawajumuisha madjs wote waliotamba enzi zao ambao kwa sasa wametapakaa kote dunia. Walioshiriki kikao maalum cha kutengeneza katiba ni Dj Saydou, Dj Godfather, Dj Peter Moe, Dj Ebony M, Dj Venture, Dj Young Ray na Dj Young Jesse.
Madjs wa zamani wakiendelea na kikao chao cha kutengeneza katiba itakayowaongoza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni