.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Julai 2016

JOSE MOURINHO AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI NA KUSEMA ANAHITAJI UBINGWA WA LIGI KUU YA UINGEREZA

Jose Mourinho amefanya mkutano na waandishi wa habari tangu chukuliwe kuwa kocha Manchester United na kuahidi kuwa anahitaji kombe la Ligi Kuu ya Uingereza.

Kocha huyo ametambulishwa rasmi leo asubuhi kuwa mrithi wa kocha Louis van Gaal, hakumung'unya maneno kwa kusema Manchester United ilipoteza dira ya ushindi.

Kama hiyo haitoshi Mourinho hakusita kumtupia kijembe kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kwa kuwa na ukame wa makombe kwa muda mrefu.
                Waandishi wa vyombo vya habari wakimsikiliza kocha Jose Mourinho

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni