.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 20 Julai 2016

KOCHA ANTONIO CONTE ASEMA DIEGO COSTA HAONDOKI CHELSEA MSIMU UJAO

Kocha mpya wa Chelsea, Antonio Conte, amesema mshambuliaji Diego Costa atabakia katika klabu hiyo kwenye msimu ujao, na ni muhimu katika mipango yake.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania amekuwa akihusishwa na kurejea katika klabu yake ya zamani ya Atletico Madrid.

Costa mwenye umri wa miaka 27, amefunga magoli 36 katika michezo 77 aliyoichezea Chelsea tangu ajiunge nayo mwaka 2014.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni