Waziri Mkuu,Kassim Majlaiwa na mkewe Mary wakitazama watoto mapacha wa kiume waliozaliwa na Bi Sikudhani Raashidi usiku wa kuamkia Agosti 21, 2016 katika hospitali ya wilaya ya Mpanda wakati walipoiembelea Agosti21, 2016. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Lupembe. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Jumapili, 21 Agosti 2016
MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni