Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati
alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo
la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016. Kulia
kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr.
Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho,
Rigobert Massawe. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati
alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo
la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016 . (Picha
na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kutembelea kiwanda cha
kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External
jijini Dar es salaam Agost 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016 . Kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016 . Kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing na kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo eneo la EPZ,Mabibo External jijini Dar es salaam baada ya kutembelea kiwanda hicho na kuzungumza, Agosti 10,2016. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhem Meru na kulia kwake ni Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni