.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 30 Agosti 2016

MAPACHA WALIOZALIWA WAKIWA WAMEUNGANA TUMBONI MIAKA MINNE ILIYOPITA KUANZA SHULE

Mapacha waliozaliwa wakiwa wameungana na kupewa nafasi ya asilimia 20 tu ya kuishi wanajianda kuanza shule nchini Uingereza.

Mapacha hao Rosie na Ruby walikuwa wameungana tumboni na kuchangia sehemu ya utumbo mwembamba kabla ya kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa mwaka 2012.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni