.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 10 Agosti 2016

MHE. NAPE AWASHAURI WASAMBAZAJI WA FILAMU NA MUZIKI NCHINI KUFUATA SHERIA

NAE1
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na wawakilishi wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini katika kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
NAE2
Mbunge Jimbo la Ilala(CCM) Mhe. Mussa Azzan Zungu akifafanua jambo katika kikao kati ya Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye na wawakilishi wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
NAE3
Mwakilishi wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini Bw. Joseph Lyakurwa akiwasilisha risala kwa niaba ya umoja huo kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye(hayupo pichani) wakati umoja huo ulipokutana na Waziri kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
NAE4
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akizungumza na wawakilishi wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini katika kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
NAE5
Baadhi ya wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye wakati wa kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
NAE6
Baadhi ya wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye wakati wa kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.Picha zote na Raymond mushumbusi WHUSM)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni