.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 21 Agosti 2016

MICHUANO YA OLIMPIKI: CASTER SEMENYA ATWAA MEDALI YA DHAHABU

Mwanariadha wa kike wa Afrika Kusini, Caster Semenya, ameshinda medali ya dhababu ya Olimpiki katika mbio za mita 800.

Semenya, 25, ameweka rekodi ya taifa lake ya kushinda kwa muda wa dakika moja na sekunde 55.28 na kumshinda kiulaini mshindi wa medali ya fedha, Francine Niyonsaba wa Burundi.

Katika mbio hizo mwanariadha wa Kenya, Margaret Nyairera Wambui ametwaa medali ya shaba na kuweka rekodi yake mwenye mpya ya kutumia dakika moja na sekunde 57:69.
        Mwanariadha wa Afrika Kusini Caster Semenya akimaliza mbio za mita 800
Caster Semenya akiwaliwaza mwanariadha wa Canada Melissa Bishop (kushoto) na Muingereza Lynsey Sharp (kulia)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni