.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 17 Agosti 2016

MWANARIADHA ALIYEIGA MWEMBWE ZA USAIN BOLT AANGUKA KATIKA KIHUNZI CHA KWANZA TU

Mwanariadha wa Haiti Jeffrey Julmis ambaye alianza kwa mikwara ya kuiga ishara ya Usain Bolt katika mbio za kuruka vihunzi amejikuta akigonga kihunzi cha kwanza na kuanguka chini.

Mikwara ya mwanariadha huyo iliwavutia watazamaji na kujikuta wakimfuatilia kwa umakini mbio zilipoanza hata hivyo mbwembwe zake ziliishia katika kiunzi cha kwanza tu.
Mwanariadha wa Haiti Jeffrey Julmis akiwa chini baada ya kugonga kihunzi cha kwanza katika michuano ta Olimpiki Rio
           Mwanariadha Jeffrey Julmis akijizoa zoa kunyanyuka baada ya kuanguka 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni