Zoezi
la uchangiaji Damu likiendelea katika makao makuu ya TAZARA ambapo
wafanyakazi mbalimbali wa Shirika hilo na watanzania wengine
wamejitokeza kucnagia damu (PICHA NA EXAUD MTEI MSAKA HABARI)
|
Mkurugenzi
mtendaji wa Tazara ENG BRUNO TANDU CHINGANDU akizngumza na wanahabari
wakati wakiendelea na zoezi la ucnagiaji wa Damu
|
Mmoja
kati ya wahamashishaji kutoka mpango wa Taifa wa Damu salama Tanzania
Bi Mariam Juma akifafanua jambo juu ya umuhimu wa kucnagia Damu kwa
watanzania
|
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni