.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 24 Agosti 2016

WATOTO WALIOZALIWA WAKIWA WAMEUNGANA MWILI WAFARIKI DUNIA NCHINI SYRIA

Watoto wachanga wa mwezi mmoja walioungana mwili waliohamishwa kutoka kitongoji cha wasi kilichozingirwa na wanajeshi nchini Syria na kupelekwa Jijini Damascus wamefariki dunia.

Mapacha hao Nawras na Moaz walikuwa wameungana kifuani na mioyo yao ikiwa katika eneo moja.

Serikali ya Syria iliruhusu kuondolewa kwa mapacha hao katika eneo la waasi na kupelekwa hospitali Agosti 12, baada ya madaktari kapaza sauti zao ili kunusuru maisha yao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni