.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Septemba 2016

BENDTNER ATUA NOTTINGHMA FOREST

Nicklas Bendtner 

Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal washika bunduki wa jiji la London,
Nicklas Bendtner amejinga na timu ya Nottingham Forest inayoshiriki ligi daraja la kwanzaEngaland. 

Nicklas Bendtner ( 28 ) amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili. 

Mchezaji huyo alikuwa huru baada ya kumalizika kwa mkataba wake na timu ya Wolfsburg ya nchini Ujerumani msimu uliopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni