|
Mkuu
wa wilaya ya Muheza Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza na
bodaboda wa wilaya hiyo ambapo alikutana nao na kuzungumza nao kwenye
uwanja wa Jitegemee wilayani humo ambapo alipiga marufuku kuendeshwa
usiku zaidi ya saa sita. |
|
|
|
|
|
|
|
Mkuu
wa wilaya ya Muheza Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza na
bodaboda wa wilaya hiyo ambapo alikutana nao na kuzungumza nao kwenye
uwanja wa Jitegemee wilayani humo ambapo alipiga marufuku kuendeshwa
usiku zaidi ya saa sita.
Baadhi ya Bodaboda zikiwa zimepaki kwenye uwanja wa Jitegemee wilayani
Muheza huku madereva wakiwa kwenye kikao chao na Mkuu wa wilaya ya
Muheza Mkoani Tanga, Mhandisi,Hajat Mwanasha Tumbo |
Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza (Das) akizungumza katika mkutano huo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa wilaya hiyo,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo aliyekaa kushoto na anayefuata ni Mwenyekiti wa Waendesha Boda Boda wilayani Muheza
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza ambaye pia ni Afisa Biashara wa wilaya hiyo,Ally Mokiwa akielezea namna walivyojipanga kuhakikisha waendesha bodaboda hao wanakata leseni za kuendesha shughuli zao katikati ni Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo
|
Wa
pili kutoka kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Muheza, Hajat,Mhandisi
Mwanasha Tumbo akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Usalama Barabarani
wilayani Muheza(DTO) Herbert Kazonde wakati wa mkutano huo na waendesha
bodaboda uliofanyika kwenye uwanja wa Jitegemee wilayani humo kulia ni
Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza. |
|
|
|
Katibu wa Chama cha Waendesha Boda Boda wilayani Muheza,Francis Gerald akizungumza katika mkutano huo kuhusu changamoto ambazo zinawakabili
Baadhi ya waendesha bodaboda wilayani Muheza wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo alipokuwa akizungumza nao kusisitiza umuhimu wa wao kutii sheria za usalama barabarani ikiwemo kuacha kufanya vitendo vya uhalifu
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni