.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 22 Septemba 2016

HALI YA TAHADHARI YATANGAZWA CHALOTTE KUFUATIA KUENDELEA KWA GHASIA

Gavana wa Carolina ya Kaskazini ametangaza hali ya tahadhari katika mji wa Charlotte na kutuma walinzi wa taifa, kutokana na kuendelea kwa ghasi za tukio la polisi kumuua mtu kwa kumpiga risasi .

Ghasi zimeibuka tena kwa usiku wa pili mfululizo wakati waandamanaji wakiendelea kupinga tukio la kuuwawa kwa kupigwa risasi na polisi mwanaume mmoja Mmarekani mweusi katika mji huo.
                Waandamanaji wakiangalia damu ya mmoja wa mwenzao aliyejeruhiwa 
                                      Mmoja wa waandamanaji akiwa amesimama juu ya gari 
                  Waandamanaji wakijizuia kwa nguo kuvuta moshi wa mabomu ya machozi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni