.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Septemba 2016

JAJI MSTAAFU AUSTRALIA AOMBA KUISHI KAMA MKIMBIZI ILI MKIMBIZI AISHI URAIANI

Jaji mstaafu nchini Australia ameomba kubadilishana nafasi na mkimbizi ili jaji huyo aweze kuishi maisha yake aliyobakia katika kambi zinazoshikilia wakimbizi nchini humo.

Jaji mstaafu Jim Macken, 88, amesema amemuandikia Waziri wa Uhamiaji wa Australia, Peter Dutton, ili aweze kubadilishana na mkimbizi mmoja ili yeye achukue nafasi yake ya ukimbizi.

Jaji mstaafu Macken amesema anaelewa kuwa ombi lake hilo si la kawaida, lakini anaomba atekelezewa kwa moyo safi kabisa.
                      Hali ilivyo katika moja ya kambi inayoshikilia wakimbizi Australia

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni