.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Septemba 2016

KOCHA JOSE MOURINHO AANZA KUMKUBALI MARCUS RASHFORD

Dogo Marcus Rashford anatarajiwa kupatiwa nafasi ya kuanza katika kikosi cha Manchester United siku ya Alhamisi kwenye mchezo wa Ligi ya Uropa dhidi ya Feyenoord.

Rashford ambaye amekuwa akikalia benchi mara nyingi chini ya kocha mpya Jose Mourinho, anaonekana kuanza kumkubali baada ya kuonyesha makali katika mchezo na Hull City pamoja na wa Manchester City.

Akimzungumzia mchezaji huyo, kocha Jose Mourinho amesema kwake mchezo unaofuata ndio mkubwa na kusema kuwa Rashford atakuwepo katika kikosi kitakachoivaa Feyenoord.
                            Marcus Rashford akishangilia goli alilofunga dhidi ya Hull City

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni