.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Septemba 2016

MCHEZAJI NYOTA MKONGWE MAREKANI ARNOLD PALMER AFARIKI DUNIA

Mchezaji Gofu mkongwe nchini Marekani Arnold Palmer (87) ambaye inaaminika kuwa ni mmoja wa wachezaji bora zaidi katika historia ya mchezo huo amefariki dunia.

Palmer amefariki dunia kwenye hospitali ya UPMC Presbyterian huko Pittsburgh, Pennsylvania, ambako alikuwa akifanyiwa vipimo vya moyo.

Chama cha Gofu Marekani kimethibitisha kifo cha Palmer kupitia akuanti ya twitta, huku kikiandika kuwa “alikuwa balozi mkubwa wa mchezo wa gofu”.
                     Arnold Palmer akicheza michuano ya kombe la Ryder mwaka 1961

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni