.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 10 Septemba 2016

MKOA WA KAGERA WAKUMBWA NA TETEMEKO LA ARDHI

Watu kadhaa wameripotiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi kupiga katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera hii leo. 

Kufuatia tetemeko hilo, nyumba kadhaa zilibomoka na kuwafukia watu waliokuwa ndani yake huku wengine wakijeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali kwa matibabu.
Muonekano wa moja ya barabara mkoani Kagera iliyoharibika kufuatia tetemeko hilo la ardhi. 

Pia imeripotiwa mikoa ya jirani na Kagera ukiwemo mkoa wa Mwanza kukumbwa na tetemeko hilo japo taarifa za madhara bado hazijapatikana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni