.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Septemba 2016

RAJABU NA KITHARA TAARAB ZANZIBAR WALIVYOTUMBUIZA JIJINI WASHINGTON

Kundi zima la Rajab and Kithara Taarab lenye kupiga mziki wa mahadhi ya mwambao kutoka Zanzibar, walipotumbuiza siku ya Jumanne Sept 6. ndani ya ukumbi wa The John F. Kennedy Center for the Performing Arts Jijini Washington. Rajab and Kithara watakua hapa Marekani mwezi mzima wakitumbuiza States mbali mbali hapa Marekani. kwa ratiba zao bofya hapa centerstageus.org
Mmoja wa waimbaji wa kundi zima la Rajab and Kithara, Saada Nassor, akitumbuiza wimbo wa Chungu, ndani ya ukumbi wa The John F. Kennedy Center for the Performing Arts iliopo Jijini Washington. (Picha zote na swahilivilla.blogspot.com)
               Saada Nassor, akionyesha pozi wakati anawatumbuzia Wamarekani.
Makame Faki akitumbuiza wimbo wa "Salaam Aleikum"
Makame Faki akiimbaa wimbo wa "Salaam Aleikum"
Wataalamu wa upigaji wa vyombo vya mahadhi ya mwambao, mpiga ngoma Foum Faki, (kushoto) akiwa na mpiga bass kitaa, Daudi Shahil, wakitumbuiza wageni waalikwa
Kundi zima la Rajab and Kithara Taarab, Zanzibar walivyotumbuiza Jijini Washington
Mtaatam wa wa quanun Zanzibar ambae pia ni kiongozi wa kundi zima la Rajab and Kithara, Rajab Suleiman akitambulisha kundi zima la Rajab and Kithara. 


                                                                                         Picha zaidi Bofya hapa  

http://swahilivilla.blogspot.com/2016/09/rajab-na-kithara-taarab-zanzibar_82.html

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni