Timu ya Real Madrid imeifunga
Espanyol katika ushindi wa mfululizo wa timu hiyo katika ligi ya La
Liga kwa ushindi wa magoli 2-0.
Magoli kutoka kwa James Rodriguez na
Karim Benzema yalitosha kuipatia Real Madrid ushindi na kuongoza ligi
hiyo kwa pointi 14.
Real Madrid, ikiwa bila Gareth Bale
na Cristiano Ronaldo ikishuka katika dimba la Cornella-El Prat, na
kupata ushindi wanne katika msimu huu.
James Rodriguez akiachia shuti lililoandika goli la kwanza
Karim Benzema akijipinda na kuachia shuti lililoandiga goli la pili
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni