.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Oktoba 2016

MH. DIDAS MASABURI AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa Meya wa jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu. 

Mh Masaburi pia alipata kuwa Mbunge wa Afrika Mashariki. Taarifa zaidi kukujia baadaye.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni