.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 25 Oktoba 2016

PROFESA MAGHEMBE AFUNGA MAFUNZO YA ASKARI WANYAMAPORI KITUO MLELE KATAVI

vyeti-1
Waziri wa Maliasili na Utalii Prof Jumanne Maghembe akiwahutubia wahitimu wa mafunzo ya ukakamavu ambao ni wahifadhi wa wanyama pori kutoka TANAPA , Mamlaka ya Ngorongoro na TAWA mafunzo yaliofanyika katika kituo cha Mlele Mkoa wa Katavi mafunzo hayo yamewashirikisha wahitimu 69 na yalifungwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Prof Jumanne Maghembe ambapo alieleza kuwa Serikali itaendelea kulinda maliasili kwa nguvu zote. Picha na Walter Mguluchuma
vyeti-2vyeti01
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Profesa Jumanne Maghembe akizungumza wakati alipokuwa akifunga mafunzo ya askari wanyamapori katika kituo cha Mlele mkoani Katavi.
vyeti3
Waziri wa Maliasili na utalii Prof Jumanne Maghembe akikagua gwarid la wahifadhi wanyamapori kutoka TANAPA,TAWA na Mamlaka ya Ngorongoro wakati alipokuwa akifunga mafunzo hayo yaiyofanika katika kituo cha mafunzo mlele Mkoani KATAVI.
vyeti4
Paredi ikipita mbele ya mgeni rasmi waziri wa utalii hayupo pichani wakati wa kufunga mafunzo ya wahifadhi wanyama pori kutoka TANAPA,TAWA, na Mamlaka ya Ngorongoro yaliyofanyika kituo cha Mafunzo Mlele Mkoani KATAVI.
vyeti5
Wahifadhi wa Wanyama pori kutoka TANAPA , TAWA na Mamlaka ya Ngorongoro wakilenga shabaha kwa kutumia risasi za moto wakati wa kufunga mafunzo jana yaliyofungwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Prof Jumanne Maghembe katika kituo cha mafunzo cha Mlele Mkoani Katavi .
vyeti6 vyeti7
Wahifadhi wa Wanyama pori kutoka TANAPA , TAWA na Mamlaka ya Ngorongoro wakilenga shabaha kwa kutumia risasi za moto wakati wa kufunga mafunzo jana yaliyofungwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Prof Jumanne Maghembe katika kituo cha mafunzo cha Mlele Mkoani Katavi .

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni