Mkurugenzi waPoverty Fighting Tanzania (PFT), Ally Manjasi (kushoto) akizungumza jambo wakati wa Mkutano huo, kuliani Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Poverty Fighting Tanzania (PFT) na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu
Baadhi ya Wawezeshaji wa Zone mbalimbali wakiratibu mabo mbalimbali
Hayo yamefanyika Temeke Jijini Dar es Salaam na kuandaliwa naMwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Poverty Fighting Tanzania (PFT), Abbas Mtemvu alipokuwa akizungumza na wanachama wa vikundi vya vikoba 102 kwa lengo la ikiwa ni kuwainua na kuwasaidia katika hali za kimaisha (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni