.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Oktoba 2016

TYSON FURY APOZI NA MIKANDA ATAKAYONYANG'ANYWA KWA MARA YA MWISHO

Bondi wa uzito wa juu Muingereza Tyson Fury amepiga picha na mikanda yake aliyotwaa kwa mara ya mwisho wakati akijiandaa kuisalimisha kwa mamlaka husika za mchezo huo.

Fury anatarajiwa kupatiwa tiba ya msongo wa mawazo na mashirikisho ya WBA na WBO yanatarajia kumpokonya mikanda yote baada ya kukiri kutumia cocaine.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni