.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 10 Novemba 2016

BAYPORT YAKABIDHI MADARASA MATATU YEMYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 200 KWA KITUO CHA KCVC



Mkuu wa wilaya  ya  Kibaha Mh AsumtaMshama, akishuhudia  uzinduzi  wa   moja  ya  madarasa  ya  kituo cha watoto yatima cha KCVC uliofanywa na mlezi kituo  hicho mama Anna Mkapa na mwenyekitiwabodiya Bayport Tanzania Dkt. Ken Kwaku  hafla  iliyofanyika  kijiji cha Simbani   wilaya  ya Kibaha  mkoa  wa   Pwani
Watoto  wanaolelewa    katika  kituo cha KCVC wakiimba  wimbo    maalumu.
Afisa  Mtendaji Mkuu wa Bayport Tanzania, John Mbaga  akiongea na wageni  waalikwa  katika hafla ya  uzinduzi wa  kituo cha KCVC.
Mlezi kituo  hicho mama Anna Mkapa akitoa hotuba kwa wageni waalikwa 
Mkuu wa  wilaya  ya  Kibaha  mh Asumta  Mshama akiongea na  wageni  waalikwa  katika  hafla ya uzinduzi  wa kituo cha KCVC.
Viongoziwa Bayport wakiongeana Mama Anna Mkapa.
Viongozi  wa Bayport Tanzania wakiwa  katika  picha  ya  pamojana Mkuu wa  wilaya  ya  Kibaha  Mh  Asumpta  Mshama, Mama Anna Mkapa, mtoto Esther Furaha  pamoja   na  wasimamizi wa kituo cha Kibaha Children’s village centre.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni