.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Novemba 2016

BILIONEA MMOJA NCHINI HONG KONG AWEKA GAZETINI TANGAZO LA KUACHANA NA MPENZI WAKE

Bilionea mmoja nchini Hong Kong ametoa tangazo la ukurasa mzima kwenye gazeti la nchi hiyo kutangaza kutengana na mpenzi wake.

Joseph Lau Luen-hung amesema katika tangazo hilo kuwa amevunja uhusiano wake na Yvonne Lui, ambaye alimunulia zawadi zenye thamani ya dola bilioni 0.26 za Marekani.

Bw. Lau anashika nafasi ya 65 kwa utajiri duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes akiwa na dola bilioni 13.1.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni