.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Novemba 2016

GABRIEL JESUS WA MAN CITY AITAKATISHA BRAZIL NA KUPATA USHINDI

Kiwango kizuri alichoonyesha Gabriel Jesus kimeisadia Brazil kushinda magoli 2-0, dhidi ya Peru siku ya jumanne, katika mchezo wa kuwania kufuzu kutinga kombe la dunia na kuifanya kuongoza kundi lao kwa tofauti ya pointi nne.

Magoli hayo mawili yaliyofungwa katika kipindi cha pili, la kwanza likifungwa na Mchezaji huyo wa Manchester City Gabriel Jesus na kumtengenezea goli la pili Renato Augusto, yalitosha kuipatia pointi tatu Brazil huko Lima dhidi ya wenyeji wao.
       Gabriel Jesus akiwa amepachika mpira wavuni baada ya kumhadaa kipa wa Peru
                    Mshambuliaji nyota wa Brazil Neymar akimpiga chenga mchezaji wa Peru

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni