.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 21 Novemba 2016

MADAKTARI KUTOKA MUNADHAMAT ALDAAWA AL-ISLAMIA WAMUAGA WAZIRI WA AFYA BAADA YA KUMALIZA KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU KISIWANI PEMBA.

thb1
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa shukrani kwa madaktari bingwa walioletwa na Jumuiya ya Kiislamu ya Munadhammat Aldaawa kwa kushirikiana na Ubalizi wa Tanzania nchini Saudi Arabia chini ya ufadhili wa Umoja wa Vijana wa Kiislamu duniani (WAMY) baada ya kumaliza kutoa huduma za matibabu kwa muda wa siku 10 kisiwani Pemba.
thb2
Mkurugenzi wa Munadhamat Aldawa Al islamia Tanzania Dkt. Khalid Al-Awadh akimueleza Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo huduma walizotoa kisiwani Pemba kwa muda wa siku 10, (katikati) Mratibu wa WAMY nchini Saudiarabia Dkt. Ibrahim Algamaan.
thb3
Baadhi ya madaktari waliokuwa wakitoa huduma za afya Kisiwani Pemba kutoka Jumuiya ya Munadhamat wakiwa katika mkutano na Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo (hayup pichani) Ofisini kwake Mnazimmoja.
thb4
Mratibu wa WAMY Dkt. Ibrahim Algamaan akiwa na madaktari wenzake akimkabidhi zawadi Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo kama ukumbusho wao kwake walipokwenda kuonana nae ofisini kwake Mnazimmoja. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni