.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 10 Novemba 2016

WAANDAMANAJI WACHOMA MOTO BENDERA NA SANAMU ZA DONALD TRUMP

Maelfu ya waandamanaji wameingia mitaani katika miji kadhaa ya Marekani kupinga ushindi wa urais wa Donald Trump.

Watu hao wengi wao wamekuwa wakipaza sauti wakisema “Trump sio rais wangu” na wengine wakichoma moto masanamu ya mfanyabiashara huyo aliyeshinda urais.

Trump atakuwa rais wa 45 wa Marekani baada ya kupata ushindi wa kushtukiza dhidi ya mgombea wa Democratic, Bi. Hillary Clinton.
 Waandamanaji wakiwa na mabango huku sanamu ya Donald Trump ikiwa imening'inizwa juu
                                            Waandamanaji wakichoma moto bendera ya Marekani 
                        Maandamano hayo pia yaliambatana na vitendo vya kuchomwa magari

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni