Ushindi wa Donald Trump umeibua
maandamano katika maeneo tofauti ya Marekani huku baadhi ya
waandamanaji wakiwasha moto taka, kuvunja vioo vya madirisha na
kuchoma moto bendera ya Marekani.
Wafuasi wa Donald Trump na Hillary
Clinton wamepigana nje ya Ikulu ya Marekani huku wananchi wengi
wakishindwa kuamini ushindi wa kushangaza wa Trump katika uchaguzi wa
rais uliokuwa na ushindani mkali.
Taka zikiwa zimewashwa moto na Wamarekani waliochukizwa na ushindi wa Donald Trump
Wafuasi wa Donald Trump na Hillary Clinton wakizichapa ngumi mitaani




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni