MAJALIWA AKITAZAMA GARI LILILOJENGEWA BODI LA MBAO
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitazama gari yaina ya Toyota lililojengewa
bodi la mbao wakati alipotembelea kiwanda cha Fibreboars 2000 Limited cha
Arusha akiwa katika ziara ya kazi mkoani humo Desemba 5, 2016.(Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni