
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mhe. Masaharu Yoshida (hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake leo kuzungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Japani hususan suala la wataalamu wa kujitolea wanaokuja kufanya kazi nchini katika sekta mbalimbali.

Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mhe. Masaharu Yoshida (kushoto) akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake leo kuzungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Japani hususan suala la wataalamu wa kujitolea wanaokuja kufanya kazi nchini. Kushoto kwake ni Afisa wa Ubalozi wa Japani nchini, Bi. Yoko Kamiyana.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni