.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Desemba 2016

SERIKALI YA GAMBIA YAPIGA MARUFUKU INTANETI WAKATI WA UCHAGUZI

Serikali ya Gambia imepiga marufuku intaneti na simu za kimatifa wakati uchaguzi mkuu ukifanyika katika taifa hilo la Afrika ya Magharibi.

Maafisa wa serikali wamepiga marufuku maandamano ili kuepusha machafuko baada ya matokeo ya uchaguzi.

Wakala wa majengo Adama Barrow anachuana na rais Yahya Jammeh, ambaye amesema neema ya Mungu itamfanya ashinde urais kwa muhula wa tano.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni