WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AFUNGUA KITUO CHA TAALUMA YA UHASIBU (NBAA) BUNJU
Waziri
wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt Philip Mpango (Mb), akihutubia baada ya
kufunguliwa rasmi kwa Kituo cha Taaluma ya Wahasibu (APC) kilichojengwa
na Bodi ya taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu katika eneo la Bunju,
nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam, ambacho ujenzi wake umegharimu
shilingi Bilioni 33.
Waziri
wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt Philip Mpango (Mb), akimkabidhi Tuzo,
Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), Prof. Isaya
Jairo, ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wake katika kufanikisha
ujenzi wa Kituo cha Taaluma ya Wahasibu (APC) kilichojengwa na Bodi ya
Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), katika eneo la Bunju nje
kidogo ya Jiji la Dar es salaam na kugharimu shilingi Bilioni 33.
Waziri
wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akikata utepe
kuashiria kufunguliwa rasmi kwa Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC) cha
Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwaniaba ya Waziri Mkuu
Mhe. Kassim Majaliwa, katika eneo la Bunju, nje kidogo ya Jiji la Dar es
salaam.
Baadhi
ya wadau walioshuhudia Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt. Philip
Mpango (Mb), akifungua rasmi Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC) cha Bodi
ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwaniaba ya Waziri Mkuu Mhe.
Kassim Majaliwa, katika eneo la Bunju, nje kidogo ya Jiji la Dar es
salaam. Kituo hicho kimegharimu shilingi Bilioni 33.
Sehemu ya Majengo ya Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (Accountancy Profession Center-APC) cha Bodi ya Uhasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kilichofunguliwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) kwa niaba ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, katika eneo la Bunju, Nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akiwasili katika viunga vya kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC) cha Bodi ya Uhasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika aneo la Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam na kulakiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA Prof. Isaya Jairo (Katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Pensheni wa watumishi wa Serikali-GEPF, Bi. Joyce Shaidi
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akisalimiana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Musa Juma Assad, kabla ya kuzindua Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC) cha Bodi ya Uhasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa niaba ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, katika eneo la Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) (wa tatu kutoka kulia) akiambatana na wakandarasi waliojenga Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC) pamoja na wajumbe wa Bodi na Uongozi wa NBAA, kukagua baadhi ya miundombinu ya kisasa iliyopo katika kituo hicho kilichopo katika eneo la Bunju, Nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam.
Meza Kuu wakiongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), (wa nne kutoka kulia) wakiimba Wimbo wa Taifa kabla ya kuanza hotuba mbalimbali, baada ya kufunguliwa rasmi kwa Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC) cha Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kilichojengwa eneo la Bunju, nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam.
Wasanii, Mrisho Mpoto na Banana Zoro, wakitumbuiza wakati wa tukio la kufunguliwa rasmi kwa Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC) cha Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kilichojengwa eneo la Bunju, nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt Philip Mpango (Mb), akihutubia baada ya kufungua rasmi kwaniaba ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Kituo cha Taaluma ya Wahasibu (APC) kilichojengwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu katika eneo la Bunju, nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam, kilichogharimu shilingi Bilioni 33.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt Philip Mpango (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi (NBAA) baada ya kuhitimishwa kwa tukio la kufunguliwa rasmi kwa Kituo cha Taaluma ya Wahasibu (APC) kilichojengwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), katika eneo la Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam na kugharimu shilingi Bilioni 33.
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni