.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 13 Februari 2017

ADELE AGUSWA NA BEYONCE KUBANIWA TUZO YA ALBAMU BORA

Mwanamuziki Adele ameonekana kukataa ushindi wake wa tuzo ya Grammy ya albamu bora, na kusema mwanamuziki Beyonce ndiye anayestahili kupata tuzo hiyo.

Msanii huyo wa muziki aliyetwaa tuzo tano za Grammy, aliwaambia watu waliofika katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo, kuwa hawezi kuikubali tuzo hiyo.

Ushindi wa Adele dhidi ya Beyonce ni dhahiri unachochea malalamiko kuwa tuzo za Grammy huwa zinawabania wasanii weusi.
                      Beyonce akiwa na mumewe Jay-Z wakimsikiliza Adele kwa hisia kali 
             Beyonce akitiririkwa na machozi kutokana kuguswa na maneno aliyotoa Adele 
         Mwanamuziki Adele akiwa amepozi na tuzo zake tano za Grammy alizozitwaa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni