.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Februari 2017

DAVID BECKHAM AWAPIKIA CHAPATI WATOTO WAKE SIKU YA CHAPATI YA MAJI

David Beckham ameonyesha ujuzi wake wa kupika chapati za maji, katika Siku ya Chapati ya Maji kwa kuonyesha majonjo ya kugeuza chapati.

Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United, anaonekana akizungusha chapati aliyokuwa akipika kikaangoni na kisha kuigeuza kwa kuirusha juu.

Katika video yake aliyotupia kwenye Instagram Beckham anasikika akiwatakia watoto wake siku njema ya chapati, huku akifurahia namna alivyogeuza chapati aliyopika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni