.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 17 Februari 2017

KOCHA ARSENE WENGER AELEKEA KUBWAGA MANYANGA ARSENAL

Kocha Arsene Wenger anatarajiwa kufikia uamuzi wa kuacha kuinoa timu ya Arsenal baada ya kuitumika kwa miaka 21.

Mmiliki mwenye hisa nyingi Stan Kroenke, bado anamuhitaji kocha huyo aliyekatika shinikizo la kutakiwa kuondoka na anataka Wenger aongezewe mkataba wa miaka miwili.

Hata hivyo nyuma ya pazia katika klabu hiyo ya Arsenal, kumekuwepo na imani inayoongezeka kwamba Wenger ataondoka.
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiwa ameshikilia kichwa kwa maumivu ya kipigo cha 5-1 kutoka kwa Beyern Munich

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni