.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Februari 2017

NDEGE NDOGO YAANGUKIA MAKAZI CALIFORNIA NA KUUWA WATU WATATU

Watu watatu wamekufa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya familia iliyokuwa ikitokea kwenye shindano lililokuwa likifanyika Disneyland ndege yao yao kuangukia nyumba mbili Jijini California

Ndege hiyo ndogo aina ya Cessna ikiwa watu wazima wawili na vijana watatu, imeanguja jana na kulipuka kisha kusababisha moto kwa eneo la wakazi wa Riverside, California,

Haikufahamika mara moja iwapo wahanga wa tukio hilo ni waliokuwa kwenye ndege ama ni wakazi wa nyumba zilizoangukiwa.
                          Askari wa vikosi vya uokoaji wakiwa juu ya bati la moja ya nyumba
Wakazi wa eneo hilo la Riverside wakiwa wamepigwa na butwaa wakiangali tukio la ajali hiyo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni