.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 18 Februari 2017

NICK CANNON AONYESHA BADO YUPO FITI KATIKA MPIRA WA KIKAPU

Mtangazaji nyota na prodyuza wa muziki Nick Cannon ameng'ara katika mchezo wa mpira wa kikaku wa NBA wa nyota mbalimbali.

Cannon, 36 ambaye ni mume wa zamani wa mwanamuziki Mariah Carey alichangia mno ushindi wa timu yao katika mchezo uliopigwa New Orleans.

Mchango wa Cannon uliifanya timu ya nyota wa Mashariki, kuibuka na ushindi dhidi ya nyota wenzao wa Magharibi kwa vikapu 88-55.
                Nick Cannon akifuatilia mpira uliokuwa juu huku akikabwa na Nneka Ogwumike
                  Nick Cannon akijaribu kumzuia prodyuza wa muziki mkongwe Master P
                                    Nick Cannon akiruka juu kufunga kikapu katika mchezo huo 
   Nick Cannon  akikumbatiana na mpinzani wake Master P kuonyesha michezo ni urafiki

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni