Maelfu ya mashabiki, wakiwamo watoto wadogo walianza kukimbia na wengine kukanyagana hali iliyosababisha vifo uwanjani.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
http://tff.or.tz/news/779-rambirambi-vifo-vya-mashabiki-angola
KILA LA KHERI YOUNG AFRICANS SC
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linachukua nafasi hii kuitakia kila la kheri timu ya Young Africans katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambayo hatua ya awali imeanza wikiendi hii.
Wakati Young Africans inacheza, kesho Februari 12, mwaka huu huku Azam itasubiri mshindi kati ya Mbabane Swallons ya Swaziland na Opara United ya Botswana katika michuano ya Kombe la Shirikisho (CAF).
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
KILA LA KHERI YOUNG AFRICANS SC
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linachukua nafasi hii kuitakia kila la kheri timu ya Young Africans katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambayo hatua ya awali imeanza wikiendi hii.
Wakati Young Africans inacheza, kesho Februari 12, mwaka huu huku Azam itasubiri mshindi kati ya Mbabane Swallons ya Swaziland na Opara United ya Botswana katika michuano ya Kombe la Shirikisho (CAF).
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni