.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Machi 2017

BURIANI MKURUGENZI WA FEDHA WA ZAMANI WA TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wake wa Fedha na Utawala, marehemu Edgar Masoud.

Edgar Masoud aliyefariki dunia jana jioni Machi 27, 2017 aliugua ghafla juzi Jumapili akiwa kanisani kabla ya kukimbizwa Hospitali ya Bochi iliyoko Mbezi kwa Msuguri ambako alikutwa na mauti akipatiwa matibabu.

Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
 

http://tff.or.tz/news/837-buriani-mkurugenzi-wa-fedha-wa-zamani-wa-tff

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni