.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 22 Machi 2017

RUBANI AKUTWA AKIWA AMELEWA CHAKARI MUDA MCHACHE KABLA YA KURUSHA NDEGE

Rubani aliyekutwa akiwa amelewa kwenye chumba cha kuongozea ndege kabla ya kuanza safari nchini Canada amekiri kosa la kuzidi na kilevi.

Rubaini huyo Miroslav Gronych alikutwa akiwa amelala kwenye kiti cha rubani huku alama za urubani kwenye sare yake zikiwa zimegeuzwa juu chuni.

Baada ya kufanyiwa kipimo cha kilevi, imebainika kuwa rubani Gronych alikuwa amezidisha mara tatu kiwango cha pombe mwilini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni