.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 4 Aprili 2017

KLABU YA USIKU YA FUNGWA TUNISIA BAADA YA DJ KU-MIX ADHANA NA MUZIKI

Klabu moja ya usiku nchini Tunisia imefungwa baada ya picha za video kumuonyesha DJ akichanganya muziki na sauti ya adhana ambayo hutumika kuita watu kwenda kuswali.

Video hiyo iliyosambazwa Jumapili kutoka katika tamasha la Orbit Festival kaskazini mashariki mwa mji wa Nabeul ililalamikiwa mno kwenye mitandao ya jamii..

Gavana wa Nabeul, Mnaouar Ouertani, amesema klabu hiyo itaendelea kufungwa hadi hapo itakapotolewa kauli nyingine. Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni