.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 24 Aprili 2017

N'GOLO KANTE ACHAGULIWA KUWA MCHEZAJI BORA WA MWAKA

Kiungo N'Golo Kante amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka na Chama cha Wachezaji Wakulipwa Uingereza.

Kiungo huyo asiyechoka dimbani, amekuwa ni muhimili muhimu wa Chelsea katika kuongoza Ligi Kuu ya Uingereza.

Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 26, alinunuliwa kutoka Leicester City Julai kwa kitita cha paundi paundi milioni 32, anaelekea kutwaa tena kombe la ligi hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni