Kiungo N'Golo Kante amechaguliwa
kuwa mchezaji bora wa mwaka na Chama cha Wachezaji Wakulipwa
Uingereza.
Kiungo huyo asiyechoka dimbani,
amekuwa ni muhimili muhimu wa Chelsea katika kuongoza Ligi Kuu ya
Uingereza.
Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka
26, alinunuliwa kutoka Leicester City Julai kwa kitita cha paundi
paundi milioni 32, anaelekea kutwaa tena kombe la ligi hiyo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni