.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 22 Aprili 2017

RAIS KENYATTA AWAOMBA RADHI WAKENYA KWA KUFUTWA UCHAGUZI WA CHAMA CHA JUBILEE

Rais Uhuru Kenyatta amewaomba radhi wa Kenya kutokana na chama cha Jubilee kujiandaa chini ya kiwango wakati wa kura za mchujo jana na kusababisha kuhairishwa kwa zoezi hilo katika kaunti zote 21.

Akiongea Ikulu, rais Uhuru amesema hakutarajia kujitokeza kwa wapigakura wengi kiasi hicho, waliosababisha kuibuka kwa upungufu wa karatasi za kupigia kura kwenye vituo vya kupigia kura.

Amesema chama cha Jubilee kitaendesha uchaguzi huru na wahaki na kuongeza kuwa yupo tayari kufuata matakwa ya wapigakura katika chaguzi za mchujo wa wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni